1. 01-01-2007 Kitabu hiki kimeandikwa kwa ajili ya viongozi wa jumuiya, makanisa, vikundi vya wanawake na shule, kinawawezesha watu kujadili na kuelewa matatizo ya ardhi na misitu; inawatia moyo kufikiria jinsi Mungu angetaka waitikie, na inawasaidia kuamua masuluhisho ya matatizo haya na jinsi ya kutumia...