នេះ Publication Issue មិន​មាន​ក្នុង​ភាសា​របស់​អ្នក, មើល​ក្នុង: Kiswahili (sw),
ឬ​ប្រើ​កម្មវិធី​បកប្រែ Google:  

Ni kilimo kilicho hai, kilimo chenye kuhusishwa na mazingira bora, mfumo wa usimamizi wa maliasili (mfano: misitu) ambao, kwa kupitia mchanganyiko wa miti mashambani au kwenye ardhi ya kilimo, hupanua wigo na kuongeza uzalishaji na hivyo kuongeza uchumi katika ngazi ya familia hadi Taifa na kuongeza faida katika utunzaji wa mazingira katika ngazi zote za watumiaji wa ardhi.


តំបន់

East Africa