Ini Publication Issue tidak ada dalam bahasa Anda, Lihat di: Kiswahili (sw),
Atau gunakan Google Translate:  
Bahasa Indonesia (id) | Ganti Bahasa (Change Language)

Imekuwa ni jambo la kawaida kwa watu wengi, wanapowaza au kubuni kuanzisha miradi ya kilimo ambapo huwaza kuzalisha mazao makuu pekee. Mara nyingi utasikia au kuona watu wakikimbilia kuweka mipango ya uzalishaji wa mazao ya nafaka kama vile mahindi, mchele, mtama, maharagwe na mengineyo kadha wa kadha, kwa ajili ya chakula na hata yale ya kibiashara kama vile kahawa na korosho.