ceci Book n’existe pas dans votre langue, Voir dans: Kiswahili (sw),
Ou utilisez Google Traduction:  

Ce livre n’est peut-être plus disponible en version imprimée.

Hiki siyo kitabu cha kusoma tu.  Ni kitabu cha kujifunza wewe mwenyewe, pamoja na jamii hako, marafiki, na jirani.  Soma yale Mchungaji Simeoni anasema.  Taxama yale amefany na usikilize mambo anayoshauriana na wengine.  Jaribu kuelewa vile Mchungaji Simeoni anajianda  kutatua shida za nchi, msitu, na chemichemi za maji.  Jifunze kutoka kwake jinsi ya kutatua shida sawa na zake, ambazo unaweza kuwa nazo.  Anza kushauriana na wengine ilikugundua yale mnaweza kushirikiana pamoja ili kurejesha nchi.  Tunaporejesha nchi, tunaanza kutambua maisha bora ambayo Mungu anataka tuwe nayo. 

Informations de publication

  • Publié: 2007
  • Dewey Decimal: 333.009
  • Bibliothèque ECHO: 333.009 FOU