This Book does not exist in your language, View in: Kiswahili (sw),
Or use Google Translate:  
English (en) | Change Language

This book may no longer be available in print.

Hiki siyo kitabu cha kusoma tu.  Ni kitabu cha kujifunza wewe mwenyewe, pamoja na jamii hako, marafiki, na jirani.  Soma yale Mchungaji Simeoni anasema.  Taxama yale amefany na usikilize mambo anayoshauriana na wengine.  Jaribu kuelewa vile Mchungaji Simeoni anajianda  kutatua shida za nchi, msitu, na chemichemi za maji.  Jifunze kutoka kwake jinsi ya kutatua shida sawa na zake, ambazo unaweza kuwa nazo.  Anza kushauriana na wengine ilikugundua yale mnaweza kushirikiana pamoja ili kurejesha nchi.  Tunaporejesha nchi, tunaanza kutambua maisha bora ambayo Mungu anataka tuwe nayo. 

Publication Details

  • Published: 2007
  • Dewey Decimal: 333.009
  • ECHO Library: 333.009 FOU